SIMBA wanautaka ubingwa wao wa Ligi Kuu Bara baada ya nahodha na mshambuliaji wa timu hiyo, John Bocco, kusema sasa wapo tayari kuendelea na mechi zilizobaki kumalizia kazi ya kubeba ubingwa.
Bocco ametoa kauli hiyo Simba ikiwa inaongoza ligi kwa pointi 71 baada ya kucheza mechi 28. Imebakiwa na mechi kumi kumaliza msimu huu ambapo kati ya hizo, ikishinda tano tu inakuwa bingwa.
Bocco amesema: “Sisi kama wachezaji tupo tayari kwa ajili ya mapambano ya kumalizia ligi, tunachosubiria ni kuingia uwanjani na kuanza kupigania ubingwa wetu katika sehemu ambayo imebaki.
Juni 14, Simba itakuwa na kete ya kwanza ya kumenyana na Ruvu Shooting, Uwanja wa Taifa baada ya ligi kusimama kutokana na janga la Virusi vya Corona.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment