Search This Blog
Monday, June 8, 2020
Atajirika Kwa Kusota Rumande Miaka Miwili
RC amuweka rumande saa 24 mhandisi wa maji | MtanzaniaMahakama kuu nchini kenya imeiamaru serikali ya nchi hiyo kumlipa fidia ya Tsh 100 bwana Athony Murini baada ya kukamatwa kimakosa na kuwekwa rumande kwa zaidia ya miaka miwili
Anthony Murimi alikamatwa mwaka 2015 kwa madai ya wizi wa kimabavu ambapo alikaa rumande kwa miezi 24 kabla ya kesi hiyo kutupiliwa mbali baada ya kukosekana kwa ushahidi
Amelipwa kiasi cha KSh. Milioni 4.5 kama fidia na nyongeza nyingine ya KSh. 500,000 baada ya kukamatwa na kukaa rumande kimakosa
Jaji wa Mahakama Kuu, James Makau amesema Ofisi ya DPP ilikiuka haki ya Anthony Murimi Waigwe kwa kumshtaki kwa kosa la wizi wa kimabavu bila ushahidi wowote
Jaji Makau aligundua shtaka hilo halikuwa na uzito wowote kwani mshukiwa hakupatikana na bidhaa zozote za wizi kulingana na ripoti ya kituo cha habari cha Citizen TV hivyo alidhulumiwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment