Search This Blog

Tuesday, May 26, 2020

Zlatan Apata Majeraha Yanaweza Hitimisha Maisha Yake ya Soka



Mshambuliaji wa AC Milan Zlatan Ibrahimovic ,38, ameripotiwa kuumia mguu wake (achilles tendon Injury) wakati akifanya mazoezi na timu yake ya AC Milan kwa ajili ya maandalizi ya kurejea kwa Serie A.

Jeraha la Zlatan linadaiwa kuwa linaweza kuhitimisha Safari ya soka ya Zlatan kama itathibitika kaumia zaidi huku mkataba wake AC Milan ukimalizika mwisho wa msimu 2019/20 wakati wa majira ya joto.

Zlatan alijiunga na AC Milan mwezi January 2020 kama mchezaji huru na kusaini mkataba wa miezi sita kuitumikia AC Milan ikimalizia msimu wa 2019/2020.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...