Search This Blog

Sunday, May 3, 2020

Waliopona corona wafikia 167 Kenya, vifo 24


Wizara ya Afya Kenya imesema licha ya maambukizi ya jumla ya corona kuongezeka na kufikia 465 lakini wagonjwa wengine 15 wamepona na kufanya idadi ya waliopona corona kufikia 167 kutoka 152, ila kuna ongezeko la vifo viwili na sasa vifo vya corona Kenya ni 24.


Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wengine wa corona 30 wameongezeka na kufanya idadi ya jumla ya maambukizi kufikia 465 kutoka 43


“Tumewapima Watu 883 ndani ya saa 24 na kati yao 30 wamekutwa na corona, hii ni idadi kubwa kuwahi kutokea kwa siku tangu corona iingie Kenya”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...