Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Waliopona corona wafikia 167 Kenya, vifo 24
Wizara ya Afya Kenya imesema licha ya maambukizi ya jumla ya corona kuongezeka na kufikia 465 lakini wagonjwa wengine 15 wamepona na kufanya idadi ya waliopona corona kufikia 167 kutoka 152, ila kuna ongezeko la vifo viwili na sasa vifo vya corona Kenya ni 24.
Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wengine wa corona 30 wameongezeka na kufanya idadi ya jumla ya maambukizi kufikia 465 kutoka 43
“Tumewapima Watu 883 ndani ya saa 24 na kati yao 30 wamekutwa na corona, hii ni idadi kubwa kuwahi kutokea kwa siku tangu corona iingie Kenya”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment