Search This Blog
Sunday, May 17, 2020
Wakenya Watumia Mkojo wa Ng'ombe ili Kuzuia Corona
Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi nchini Kenya, wamelazimika kutumia mkojo wa Ng'ombe kama maji ili kuosha mikono yao kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Corona.
Kulingana na taarifa ya mkazi mmoja amesema uhaba wa maji katika eneo hilo ndiyo umewafanya wakazi kutumia njia hiyo ili kuzuia kusambaa kwa virusi hivyo.
Aidha mmoja wa mfugaji katika eneo hilo aitwaye Lokoliok Losike amesema anaamini kuwa mkojo wa ng'ombe unasaidia katika kuzuia maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa COVID-19.
Pia Wizara ya Afya katika kaunti hiyo imewataka wakazi waishio eneo hilo kuosha mikono kila wakati na kuvaaa barakoa "maski" kila wanapaokuwa na mikusanyiko na watu wengine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment