Search This Blog

Sunday, May 17, 2020

Naibu Waziri wa Afya Aliyetumbuliwa Amshukuru Rais Magufuli



Nimepokea uamuzi wa Rais kwa unyenyekevu mkubwa.
Ninamshukuru JPM kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru
umwalimu na watendaji wote kwa ushirikiano walionipatia.Mafanikio ya sekta ni makubwa sana. Namtakia kila la kheri NW ajaye Dk Mollel.- Dk Ndugulile.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...