Search This Blog
Thursday, May 7, 2020
Vifo kutokana na maporomoko ya ardhi na mafuriko vyaongezeka Kenya
Watu 30 zaidi wamepoteza maisha katika mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Kenya.
Ikiwa ni wiki tatu ya mvua kubwa nchini humo,idadi ya vifo imefikia 194 na watu zaidi ya elfu 100 wameyahama makazi yao.
Utabiri wa hali ya hewa umetangaza kuwa mvua kubwa zitaendelea hadi mwisho wa mwezi Mei.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment