Search This Blog

Saturday, May 16, 2020

VIDEO: Mganga mkuu wa serikali akanusha uwepo wa makaburi 92 ya watu waliofariki kwa Corona Morogoro


Mganga mkuu wa Serikali Profesa Abel Makubi amesikitishwa na uvumi wa taarifa za kuwepo kwa watu 92 ambao wamefariki kutokana na virusi vya corona kisha kuzikwa nyakati za usiku katika makaburi ya kola manispaa ya Morogoro, ambapo amesema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...