Search This Blog

Saturday, May 16, 2020

Maambukizi ya virusi vya corona yafikia 781 Kenya

Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wapya 23 wa corona wameongezeka na kufanya idadi ya maambukizi kufikia 781 kutoka 758

“Tumepima sampuli 2100 ndani ya saa 24, wagonjwa wapya ni 23 ambapo Wanaume ni 18 na Wanawake 5, mgonjwa mwenye umri mdogo ana miaka 24, mkubwa miaka 85”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...