Search This Blog
Monday, May 11, 2020
Usafiri wa treni kati ya Ujerumani na Paris kuanza tena
Huduma ya treni kati ya miji mikuu ya Ufaransa na Ujerumani itaanza tena leo, kampuni ya taifa ya reli nchini Ujerumani imetangaza.
Safari ya masafa marefu kutoka Frankfurt hadi Paris kupitia Saarbrueken itaanza tena kwa kutumia treni iendayo kasi ya ICE kutoka pande zote kila siku, msemaji wa Shirika la reli la Ujerumani Deutsche Bahn amesema.
Usafiri kwenda Ufaransa, ambayo imelegeza hatua za kuwazuwia watu kutoka majumbani mwao kuanzia leo Jumatatu, inaruhusiwa tu kwa watu wenye sababu muhimu kuvuka mpaka, kama kwenda kazini ama shule.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment