Search This Blog
Monday, May 11, 2020
Morogoro yapokea tani 90 za sukari
Mkoa wa Morogoro umepokea Tani 90 za bidhaa ya sukari ili kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa bidhaa hiyo iliyopelekea kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 3500 kwa kilo hadi shilingi 6000.
Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Regina Chonjo amesema sukari hiyo itagawiwa kulingana na utaratibu uliowekwa ili kuondoka usumbufu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment