Search This Blog

Friday, May 1, 2020

Tanzania yakanusha vifo 50 kwa siku


Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania na Katibu Mkuu Wizara ya Habari Dkt.Hassan Abbasi ameikosoa NTV Kenya na kusema wamechapisha taarifa za uongo baada ya kudai kuwa kwa siku ya jana April 30,2020 pekee wamefariki Watu 50 katika Mkoa DSM kutokana na corona.

“Huu ni uandishi au "uhandisi" wa habari?, inasikitisha kuona jinsi NTV Kenya inavyokuwa wakala wa uongo na uzushi, nawakumbusha wazandiki hawa kuenzi misingi ya taaluma badala ya umaamuma"-Dkt. Abbasi

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...