Search This Blog
Sunday, May 10, 2020
Sakata la Upatikanaji wa Sukari PAUL Makonda Afunguka Haya......
Tukiwa katika mjadala wa kupanda kwa bei ya Sukari nchini, Sasa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema Serikali ipo katika kushughulikia suala hilo na tutegemee siku mbili zijazo jambo hilo litakuwa sawa.
Nafahamu tuna changamoto ya upatikanaji wa sukari kwenye mkoa wetu (DSM), Serikali inashughulikia suala hili kwa umakini mkubwa na ndani ya siku mbili zijazo tutatoa suluhisho la kadhia hii, endeleeni kuchukua tahadhari na kujikinga na corona”-Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment