Search This Blog
Wednesday, May 6, 2020
Ronaldo awasili Italia na kufikia karantini siku 14
Mshambuliaji wa Juventus ya Italia Cristiano Ronaldo amerejea Turin Italia kwa ajili ya kujiandaa na kuendelea tena kwa Ligi Kuu Italia Serie A 2019/20.
Ronaldo amewasili na kusindikizwa na msafara mkubwa wa magari ikiwemo escort ya polisi, kwakuwa hakuwa Italia kwa muda atalazimika kukaa karantini siku 14 kabla ya kuungana na wenzake mazoezini.
Ronaldo msafara wake ulikuwa na ndugu, jamaa na walinzi na alikuwa awasili mapema Itali ila ndege yake ilikwama Hispania sababu ya kuzuia kuondoka kutokana na Aiport kufungwa sababu ya janga la corona.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment