Search This Blog

Wednesday, May 6, 2020

Donald Trump avunja ukimya mbele ya China



Rais Donald Trump wa Marekani amesema hivi karibuniataweka ushahidiwote hadharani kuhusu namna ya China ilivyotengeneza virusi vya corona katika maabara eneo la Wuhan , Trump hajaeleza kwa undani kuhusu ni lini au wapi atazitolea taarifa hizo lakini amesisitiza ataanika kila kitu

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...