Search This Blog
Sunday, May 10, 2020
RC Iringa arejesha gari la mwalimu aliyetapeliwa
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa, Mweli Kilimali amesema, katika kipindi hicho cha ufuatiliaji wa madeni ya wadaiwa sugu vyama vya akiba na mikopo (SACCOS) 67, vilifikiwa na zaidi ya bilioni 1.2 ziliokolewa.
Mbali na fedha hizo pia amesema kuwa katika opresheni ya kuwatafuta wakopeshaji wa mikopo umiza, wamefanikiwa kukamata gari lenye namba ya usajili T 311 DDF aina ya Nissan Serena iliyokuwa mali ya mwalimu mstaafu Hadija Nassor Mazola aliyekopa kiasi cha Mil 2 mwaka 2017 kutoka kwa mkopeshaji Micheal Wilson Sanga.
Kwa upande, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameipongeza TAKUKURU kwa kazi nzuri ya kuokoa fedha na mali za wananchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment