Search This Blog

Saturday, May 2, 2020

Ratiba Ya Mazishi Ya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt Augustine Mahiga

Makamu wa Rais,Mama Samia Suluhu Hassan, leo  Mei 2, 2020,  ataongoza mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Augustine Mahiga, aliyefariki dunia jana. 

Dkt. Mahiga mwanadiplomasia mkongwe aliyeitumikia nchi kwa weledi, atazikwa alasiri Tosamaganga, Iringa.

Msemaji Mkuu wa Serikali.Dkt. Hassan Abbas ametoa taarifa hiyo.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...