Search This Blog

Saturday, May 2, 2020

Kiongozi Wa Korea Kaskazini Ajitokeza Hadharani Kwa Mara Ya Kwanza Baada ya Uvumi Kwamba Yuko Mahututi

Kim Jong Un amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya kutoonekana kwa takribani wiki tatu hadi kupelekea uvumi wa kwamba anaugua na huenda amefariki.

 Shirika la Habari la Korea Kaskazini(KCNA) limesema Kim  Jana May 01, 2020 alikata utepe kwenye uzinduzi wa kiwanda cha mbolea eneo la sunchon.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...