Search This Blog
Sunday, May 17, 2020
Mambo magumu kwa Said Ndemla ndani ya SIMBA
SAID Ndemla nyota wa Klabu ya Simba msimu huu 2019/20 mambo yamekuwa magumu kwake kutokana na kutokuwa na nafasi kikosi cha kwanza.
Simba ikiwa imecheza mechi 28 ambazo ni dakika 2,520 amecheza mechi tatu pekee ambazo ni dakika 270.
Ndemla amekosekana kwenye mechi 25 ambazo ni dakika 2,250 ndani ya Uwanja akijenga ushkaji na benchi.
Chini ya Kocha Mkuu, Patrick Aussems amecheza mechi mbili ambapo ilikuwa mbele ya Biashara United na Singida United, huku chini ya Sven Vandenbroeck akionekana kwenye mechi moja dhidi ya Ndanda FC.
Simba ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi zake 71 kibindoni na imetupia mabao 63.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment