Search This Blog

Saturday, May 9, 2020

Madagascar: Maambukizi ya corona 225 hakuna kifo


Wizara ya Afya Madagascar imesema Nchi hiyo ina maambukizi ya corona 225 huku wagonjwa wa corona waliopona wakifikia 101 na hakuna kifo cha corona, kwa zaidi ya siku tatu idadi ya maambukizi haijaongezeka, jana Tanzania ilipokea msaada wa dawa za kufubaza corona kutoka Nchi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...