Search This Blog

Saturday, May 16, 2020

Ligi kuu ya Bundesliga kurejea leo

Ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga itarejea mechi zake bila kuwa na mashabiki uwanjani leo tarehe 16 Mei, 2020.

 Timu nyingi zina michezo tisa ya kucheza na msimu huu fainali zinatarajiwa mwishoni mwa wiki ya tarehe 27-28 Juni mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...