Search This Blog
Tuesday, May 12, 2020
KENYA: Wagonjwa wapya 15 wa corona waongezeka na kufanya idadi ya maambukizi 715
Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wapya 15 wa corona wameongezeka na kufanya idadi ya maambukizi kupindukia 700 na kufikia 715. “wagonjwa wapya 14 ni Wakenya na mmoja wa Rwanda, Wanaume 10, Wanawake 5, mgonjwa mwenye umri mdogo ana mwaka mmoja na miezi 8 na mkubwa miaka 62”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment