Search This Blog

Tuesday, May 12, 2020

Harmonize afunguka kumsaini Rich Mavoko kwenye lebo yake

Msanii wa bongo fleva Harmonize amefunguka kuhusu kumsaini Rich Mavoko kwenye lebo yake ya Konde Music World Wide.

Mwimbaji huyo amesema Mavoko ni miongoni mwa wasanii waliomvutia sana hadi kuingia kwenye muziki wa Bongo Fleva na kama ikitokea nafasi kwenye lebo yake atafanya hivyo.

“Ikitokea nafasi haiwezi kushindikana, Rich ni Kaka yangu ameni-inspire,” Harmonize ameiambia XXL ya Clouds FM Jumanne hii.

Katika hatua nyingine amefunguka kuhusu ujumbe alioandika mtandaoni hivi karibuni kuhusu Rich Mavoko akihoji kwanini kuna baadhi ya watu wanafurahia ukimya wake na kueneza maneno ambayo sio sahihi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...