Search This Blog
Thursday, May 21, 2020
Dkt. Faustine Ndugulile akabidhi ofisi rasmi kwa Dkt. Mollel
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Dr. Faustine Ndugulile, tayari amekabidhi rasmi ofisi kwa Naibu Waziri mpya wa Afya Dkt. Mollel. “nampongeza Dkt Mollel kwa kuteuliwa na namshukuru sana Waziri Ummy kwa ushirikiano alionipa, namshukuru JPM kwa imani yake kwangu”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment