Search This Blog

Monday, May 18, 2020

CORONA: Trump atumia dawa



Rais Trump amesema licha ya kwamba haumwi corona ameamua kutumia hydroxychloroquine, Trump amekuwa akizipigia debe dawa hizo kuwa zinasaidia kupambana na corona licha ya Wanasayansi kupingana nae. “nimewauliza Madaktari wangu wakasema hazina madhara, natumia”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...