Search This Blog
Monday, May 4, 2020
Breaking News:Mwanasiasa na Mwanasheria Mkongwe Dr Masumbuko Lamwai Afariki Dunia
Dkt. Lamwai amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 05, 2020
Atakumbukwa kwa kazi yake kubwa katika siasa za Tanzania (NCCR-Mageuzi kisha kuhamia CCM)
Alikuwa Mhadhiri mwandamizi (Senior Lecture) katika Chuo Kikuu cha Tumaini
Akiwa NCCR-Mageuzi, alikuwa na wanasiasa wengine wakongwe kama Mabere Marando, Marehemu Dkt. Sengondo Mvungi(RIP), Augustine Mrema, Makongoro Nyerere, Prince Bagenda, Ndimara Tegambwage na Stephen Wassira
2h
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment