Search This Blog
Wednesday, May 27, 2020
Amuuza Mwanae Baada ya Kufukuzwa Nyumbani
Binti wa miaka (17), mwanafunzi wa kidato cha pili mkazi wa Kaunti ya Kakamega nchini Kenya, amemuuza mwanaye baada ya kupewa mimba na nduguye wa karibu kisha kufukuzwa kwao.
Taarifa zinasema binti huyo alifukuzwa na baba yake mlezi baada ya kupata ujauzito hivyo mtoto ambaye angezaliwa alionekana kuwa kama ‘laana’ kwa jamii yao na kukiuka tamaduni na desturi zao.
Hata hivyo mama wa binti huyo alilazimika kutafuta mtu wa kumuuzia mtoto, na alilipwa kabla ya binti huyo kujifungua.
Australia yaanza jaribio la kwanza chanjo ya Corona
Mama wa binti huyo anasema walilazimika kumuuza mtoto kwa kuwa wasingeweza kumlea mtoto huyo na ndiyo sababu wakaamua kumuuza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment