Search This Blog

Monday, April 27, 2020

waziri wa mambo ya nje wa Marekani atoa ujumbe wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa waislamu

Mike Pompeo atoa ujumbe  wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa waislamu.

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo ametoa ujumbe wa Ramadhani kupitia ukurasa wake wa Twitter akiwatakia Ramadhani njema waislamu wote.

Katika ujumbe wake huo aliotoa , Mike Pompeo amekumbusha  waislamu kutenda wema kama inavyoagizwa na mafunzo ya uislamu.

Mike Pompeo amesema kuwa anawatikia waislamu wote Ramadhani njema na kuwaombea kuendelea kutenda wema kama unavyofundisha uislamu huku  kukuheshimishwa  hatua zilizochukuliwa katika juhudi za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...