Search This Blog

Monday, April 27, 2020

Ubalozi wa Uturuki nchini Uganda watoa msaada kwa watu wasiojiweza


Ubalozi wa Uturuki nchini Uganda na shirika la TİKA umetoa msaada kwa watu wasiojiweza nchini Uganda.

Katika juhudi za kukabiliana na virusi vya corona katika kipindi cha mwezi Mtukufu, ubalozi wa Uturuki mjini Kampala nchini Uganda kwa ushirikiano na shirika la TİKA, shirika ambalo   hutoa misaada katika matukio ya dharura  imetoa msaada wachakula  kwa familia 1 000 nchini Uganda.

Balozi wa Uturuki mjini Kampala Fikret Kerem Alp na mkurugenzi wa TİKA Yahya Acun  wametoa msaada wa unga, sukari na maharagwe kwa familia  1 000 baada ya kumkabidhi kiongozi Mary Karoro Okurut.

Balozi wa Uturuki amesema kuwa Uturuki itaendelea kushirikiana na Uganda katika sekta tofauti ikiwemo sekta ya afya.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...