Search This Blog

Sunday, April 26, 2020

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kaunza kazi leo baada ya kupona corona


Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson atarajiwa kuanza kazi rasmi Jumatatu ya leo  Aprili 27 mwaka  2020 baada ya kupana virusi vya corona.

Ni wiki mbili sasa tangu waziri mkuu huyo wa Uingereza kupona virusi vya corona.

Ofisi ya waziri mkuu wa Uingereza  imefahimisha  Jumapili  kuwa waziri Boris Johnson  anaanza kazi rasmi Jumatatu Aprili 27  baada ya kupona virusi vya corona.

Waziri mkuu wa Uingereza   alikuwa miongoni mwa watu walioathirika  na virusi vya corona nchini Uingereza.

Taarifa hiyo imetolewa na shirika la habari la AP.

Baada ya kuondoka hospitali waziri mkuu wa Uingereza  alipokuwa akipatiwa matibabu katika chumba  maalumu cha matibabu maalumu kwa muda wa siku 3  aliruhusiwa kuondoka hospitali Aprili  12.

Watu 20319 wamekwishafariki kutokana na virusi vya corona nchini Uingereza tangu kaunza kwa  janga hilo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...