Wizara ya Afya Uganda imesema wagonjwa wengine wapya wawili wa corona wameongezeka na wote ni Madereva wa Malori kutoka Tanzania na kufanya idadi ya visa kufikia 63 Uganda,
Raia wa Uganda wameanza kuishinikiza Serikali yao kutoruhusu Malori kuingia nchini humo wakidai Madereva wanaongeza idadi ya visa vipya.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment