Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wengine wawili wa corona kati ya Watu 2002 waliopimwa jana, wagonjwa wapya ni Raia wa Uganda na Mkimbizi kutoka Burundi, hii inafanya idadi ya visa vya corona Uganda kufikia 81, waliopona ni Watu 52 na hakuna kifo.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment