Search This Blog

Wednesday, April 29, 2020

Wagonjwa wawili wa corona waongezeka Uganda

Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wengine wawili wa corona kati ya Watu 2002 waliopimwa jana, wagonjwa wapya ni Raia wa Uganda na Mkimbizi kutoka Burundi, hii inafanya idadi ya visa vya corona Uganda kufikia 81, waliopona ni Watu 52 na hakuna kifo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...