Search This Blog

Sunday, April 5, 2020

Wachezaji wa Ligi kuu England wagoma kukatwa mishahara

Wachezaji wa Ligi kuu England (EPL), wamegoma kukatwa mishahara yao katika kipindi hiki, licha ya kuelezwa kwamba, klabu zao zitapata hasara ya pauni bilioni 1.137 kutokana janga la virusi vya Corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...