Search This Blog

Sunday, April 5, 2020

Uganda yatoa msaada wa chakula kwa raia milioni 1.5 Kampala

Uganda imeanza jana kugawa msaada wa chakula kwa raia milioni 1.5 walio katika mazingira magumu zaidi ambao wameathirika na hatua ya kusitishwa shughuli katika mji mkuu Kampala ili kudhibiti virusi vya corona.

Msafara wa malori sita yaliyokuwa na mifuko ya unga wa mahindi, maharage na chumvi ulianzishwa na mawaziri wa serikali na kuelekea kitongoji cha Bwaise.

Idadi ya jumla ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Uganda ni 48. Hakuna kifo kilichotokea mpaka sasa.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...