Uganda imeanza jana kugawa msaada wa chakula kwa raia milioni 1.5 walio katika mazingira magumu zaidi ambao wameathirika na hatua ya kusitishwa shughuli katika mji mkuu Kampala ili kudhibiti virusi vya corona.
Msafara wa malori sita yaliyokuwa na mifuko ya unga wa mahindi, maharage na chumvi ulianzishwa na mawaziri wa serikali na kuelekea kitongoji cha Bwaise.
Idadi ya jumla ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Uganda ni 48. Hakuna kifo kilichotokea mpaka sasa.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment