Wizara ya Afya Kenya imesema Watu wengine wapya 8 wamebainika kuwa na corona na kufanya idadi ya wenye corona Kenya kufikia 270 kutoka 262.
“Tumepima sampuli 1330 ndani ya saa 24 na Watu 8 ndio wamebainika kuwa na maambukizi, saba ni raia wa Kenya na mmoja ni raia wa kigeni”
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment