Search This Blog

Monday, April 20, 2020

Visa vya corona Uganda vyafikia 56


Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa corona na kufanya idadi ya visa vya corona kufikia 56 nchini humo, mgonjwa mpya ni mkimbizi wa Burundi mwenye umri wa miaka 46 ambaye aliingia Uganda akitokea Tanzania na akawekwa karantini.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...