Msanii wa bongo fleva, Eliasi Barnaba maarufu Barnaba amesema mpango wake aliokuwa nao kwa sasa ni kufuta tattoo ya mama mtoto wake ambayo ameichoro mkononi mwake.
Akiiambia WasafiTv, Barnaba alisema kama mtu akiachana na mpenzi wake hana haja ya kubaki na alama yoyote kwasababu inamkubushia machungu.
Alisema alijitahidi kuvumilia lakini anaona machungu yanaongezeka hivyo anahitaji kuifuta ili kuwa sawa.
“Nimepitia maumivu na machungu mengi hivyo sihitaji kubaki na alama ya mtu ambayo nimempoteza hivyo ninampango wa kuifuta ili kumsahau kabisa".
Itakumbukwa, Barnaba na Zuu walijaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume na kumpa jina la #Steve. Mama Steve amefunga ndoa wikiendi iliyomalizika na mpenzi wake.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment