Shirika la ndege la Uturuki la Turkish Airlines (THY) limetangaza kwamba limesimamisha ndege zote za kimataifa hadi Mei 20, 2020.
Katika taarifa hiyo,shirika hilo limetangaza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na mlipuko wa Covid-19 ulimwenguni na kwamba ni moja ya njia za kusaidia kupunguza maambukizi ya virusi hivyo.Ndege zote zimesimama mpaka tarehe 20 Mei 2020.

No comments:
Post a Comment