Mwimbaji Staa wa Bongofleva Vanessa Mdee amevunja ukimya kwa kuongelea ukimya wake na maamuzi yake ya kupumzika.
“Kwa miaka 13 nimefanya kazi bila mapumziko, hatimae nimepata muda kwa ajili yangu, kufanya ninavyovipenda na kuvitaka, nataka kuchukua muda kufurahia maisha, tuko hapa kwa ajili ya kuishi na kufurahia maisha” – Vanessa Mdee
Wakati Vanessa akiongea kwenye hii video na kuonesha kufurahia penzi lake jipya na Mwigizaji Staa Rotimi, Mpenzi wake huyo alijitokeza na kuongea kwa kiswahili kurudia kwa msisitio neno ‘hatuachani’
Vanessa amewashukuru Mashabiki zake pia kwa kusupport podcast yake kwenye season ya kwanza na kuahidi kuileta season ya pili na kujibu maswali mengi ya Mashabiki zake.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment