Search This Blog

Wednesday, April 1, 2020

Rihanna na Jay z wachangia Bilioni 4 kwa wahanga wa Corona Virus



Ni Headlines za wakali kutokea Marekani Jay-Z na Rihanna ambapo wameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kila mmoja kuchangia kiasi cha Bilioni 2 za kitanzania kupitia taasisi zao; Shawn Carter Foundation na Clara Lionel.

Fedha jumla ya Bilioni 4 ambazo zitasaidia na kuwagusa madaktari, jamii na watu wasio na makazi kupata chakula vya  kupambana na ugonjwa wa Corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...