Search This Blog
Wednesday, April 1, 2020
Rihanna na Jay z wachangia Bilioni 4 kwa wahanga wa Corona Virus
Ni Headlines za wakali kutokea Marekani Jay-Z na Rihanna ambapo wameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kila mmoja kuchangia kiasi cha Bilioni 2 za kitanzania kupitia taasisi zao; Shawn Carter Foundation na Clara Lionel.
Fedha jumla ya Bilioni 4 ambazo zitasaidia na kuwagusa madaktari, jamii na watu wasio na makazi kupata chakula vya kupambana na ugonjwa wa Corona.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment