Search This Blog

Thursday, April 16, 2020

Rais Magufuli Awataka Watanzania Watumie Siku 3 Kusali ili Mungu Atuepushe na Janga la Corona



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutumia siku 3 kwaajili ya kusali kuepuka Janga la Ugonjwa wa Corona .

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Rais Magufuli aliandika…“Ndugu zangu Watanzania, kutokana na ugonjwa wa Corona, nawaomba tutumie siku 3 za kuanzia tarehe 17- 19 Aprili, 2020 {Ijumaa, Jumamosi na Jumapili} kumuomba Mwenyezi Mungu aliye muweza wa yote atuepushe na janga la ugonjwa huu, tusali kila mmoja kwa imani yake, atatusikia”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...