Search This Blog
Thursday, April 16, 2020
Hali Yazidi Kuwa Tete Marekani Wagonjwa Wafikia 600,000
Kwa mujibu wa taarifa zinazotolewa na chuo kikuu cha John Hopsin nchini Marekani idadi ya wagonjwa wa Corona nchini humo imefika 660,000 mpaka kufikia leo
Idadi hiyo ya wagonjwa inaifany Marekani kuwa nchi kinara wa maambuki kwa sasa ukitoa China ambayo ni kitovu cha ugonjwa huo asilimia 33 ya wagonjwa wakiwa kwenye ngi hiyo
Kwa masaa 24 yakiyopita Marekani iliripoti jumla ya wagonjwa wapya takribani 30,000 na vifo visivyopungua 2,000 huku dunia nzima kukiwa na wagonjwa Milioni 2 na vifo 145,000 na watu 547,000 waliripotiwa kupona
Katika hatua hiyo basi mamlaka ya chakula na dawa nchini humo FDA imesema ipo kwenye hatua za mwisho za kutoa vifaa vya kupima virusi hivyo nyumbani ambavyo vitagawiwa kwa wananchi
Ikumbukwe kuwa Marekani ni moja kati ya nchi nyingi duniani iliyozuia wananchi wake kutoka nje
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment