Recep Tayyıp Erdoğan azungumza kwa njia ya simu na rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu virusi vya corona na ushirikiano katika ukanda wa Mashariki ya Kati.
Rais wa Uturuki na rais Macron wa Ufaransa wamezungumza kuhusu hali iliopo katika ukanda wa Mashariki na Kati na mapambano dhidi ya virusi vya corona.
Taarifa hiyo imetolewa Jumanne na ofisi ya msemaji wa rais mjini Ankara.

No comments:
Post a Comment