Search This Blog
Saturday, April 25, 2020
Polisi waendelea kuchunguza sakata la wagonjwa wa corona kutoroka Amana
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio la wagonjwa waliothibitika kuwa na virusi vya corona kudaiwa kutoroka katika Hospitali ya Rufani Amana jijini Dar es Salaam.
Kaimu Kamanda wa Kanda hiyo, Camilius Wambura, aliliambia Nipashe jana kuwa, bado wanaendelea kuchunguza tukio hilo baada ya juzi kupata taarifa za wagonjwa kutoroka hospitali hapo.
Juzi, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, alitoa ufafanuzi kuhusu taarifa za wagonjwa kudaiwa kutoroka Amana na kurejea nyumbani.
Mjema alisema kuna taarifa za wagonjwa hospitalini hapo za kulazimisha kuondoka ili kurejea nyumbani, lakini hakuthibitisha kuondoka kwao katika eneo hilo la matibabu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment