Search This Blog
Saturday, April 25, 2020
China yaripoti kesi mpya saba za wagonjwa wa corona
Mkoa wa Kaskazini Magharibi wa China wa Shaanxi umeripoti leo Jumamosi kesi saba mpya za wagonjwa wa Corona ambao ni Raia wa China walioingia nchini humo wakitokea nchini Urusi.
Jiji la bandari la Manzhouli huko Inner Mongolia pia liliripoti kesi mpya tatu za wagonjwa wa Corona.
China ilianzisha ukaguzi mkali mnamo Machi 28 katika bandari zake na maeneo ya mipaka, na kupiga marufuku kuingia kwa raia wa kigeni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment