Search This Blog

Saturday, April 18, 2020

Polepole Arusha Kijembe Asema Huu sio Wakati wa Kutisha Watu ama Kuchukua Hatua za Kufedhehesha utu


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema wanaendelea na maombi maalum ya siku tatu kusimama pamoja na watashinda.

Polepole amesema rai yake baadhi ya viongozi wa serikali wanatakiwa kuzingatia kuelimisha umma zaidi na kutiana moyo kuwa watashinda.

“Huu si wakati wa kutisha watu au kuchukua hatua zenye kufedhehesha utu, vitendo hivyo havikubaliki,” Polepole aliandika ujumbe huu katika ukurasa wake wa Twitter leo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...