Search This Blog

Saturday, April 18, 2020

Bilionea Mo Dewji Atumia Siku ya leo Kuomba Msamaha kwa Aliowakosea


Bilionea maarufu nchini Tanzania, Mohammed Dewji ametumia siku ya leo Jumamosi Aprili 18, 2020 kuomba mshamaha kwa watu ambao amewakosea kwa kujua au kutokujua.

Msamaha huo ameuomba kupitia ukurasa wake wa Instagramu akisema leo ndio Jumamosi ya mwisho kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

“Napenda kuchukua nafasi hii kuomba msamaha kwa yeyote ambaye nimemkosea kwa kujua ama kutokujua. Namuomba M/Mungu akubali dua zetu, anatujaalie tuweze kuufikia Mwezi Mtukufu wa Ramadhan tukiwa na afya njema, Ameen”


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...