Search This Blog

Wednesday, April 15, 2020

"Nataka Peter Msechu awe kama Vanessa" - Baba Levo


Diwani wa Mwanga Kaskazini Kigoma Ujiji na msanii wa BongoFleva Baba Levo, amesema huwa anamshambulia kwa maneno Peter Msechu kwa sababu anataka apungue hadi awe na mwili kama wa Vanessa Mdee.


Akizungungumza na EATV & EA Radio Digital, Baba Levo amesema huwa anajisikia raha pale anapomshambulia Peter Msechu na lengo lake ni kumtaka akonde na kumpa mawazo.

"Najisikia raha ninapomshambulia Peter Msechu, lengo la kumshambulia huwa nataka akonde na nimpe mawazo ili awe na mwili flani hivi kama Vanessa Mdee, nataka hata akitembea awe sawa na Vanessa, ila siwezi nikamtania hadi kumvunjia mipaka yake kwa mfano kufika hadi kwa wazazi" amesema Baba Levo


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...