Mmiliki wa klabu ya Brescia ya Ligi Kuu Italia (Serie A) Massimo Cellino ametangaza kuwa hawezi kuruhusu timu yake irudi uwanjani kumalizia msimu wakati huu wa corona.
Cellino anaamini msimu ni vyema ufutwe na yuko tayari timu yake iadhibiwe kwa kushushwa daraja Serie B, uamuzi bado haujawekwa wazi kama Ligi itaendelea au la.
Klabu ya Brescia ndio inayochezewa na mshambuliaji wa zamani wa Man City Mario Balotelli, hadi sasa Ligi Kuu ya Italia inatajwa kuwa itaendelea na kuna uwezekano zikachezwa mechi kila baada ya siku tatu huku ikidaiwa kuchezwa ukanda mmoja.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment