Staa wa timu ya taifa ya Nigeria na klabu ya Shanghai ya China ila kwasasa akiwa kwa mkopo Man United Odion Jude Ighalo amekanusha vikali taarifa za kuwa amepewa ofa na Man United na Shanghai na kusema kuwa hadi sasa hana ofa.
”Sina ofa nimetulia na nitafanya maamuzi na sitayumbishwa na chochote watu wanachosema, nilikuja Man United na nikakubali kukatwa mshahara ili nicheze kwa sababu nilitaka” - Ighalo
”Chochote kinaweza kutokea mwisho wa msimu, kwanza nataka msimu uishe na mkopo wangu uishe halafu nitajua nini kitatokea baada ya hapo” - Ighalo
Jude Odion Ighalo amekuwa na mkopo mzuri ndani ya Man United toka alipowasili dirisha dogo la January 2020, Ighalo hadi michezo inasimamishwa sababu ya mlipuko wa virusi vya Corona alikuwa kaitumikia Man United katika game 8, magoli manne na kota assist moja, kitu ambacho kimewashangaza wengi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment